• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

Posted on: August 7th, 2025

MHAKIKI wa Mashindano ya afya na usafi wa Mazingira Kitaifa kwa mwaka 2025 , Salvata Silayo, amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro,Emmanuel Mkongo, kwa uwekezaji alioufanya kwenye sekta ya afya na usafi wa mazingira hususani kwenye ujenzi wa Machinjio mpya ya kisasa Mkundi ,uboreshaji wa usafi Soko Kuu la Chifu Kingalu, miundombinu ya bora ya vyoo, mafanikio makubwa ya usajili wa majengo ya vyakula pamoja na uwezeshaji wa wataalamu wa afya na mazingira katika shughuli zao za kila siku.

Kauli hiyo ameitoa katika kikao cha majumuisho kilichowakutanisha wataalamu mbalimbali wa Idara na vitengo ikiwemo Mkuu wa Divisheni ya Afya ,Lishe na Ustawi wa Jamii, Mkuu wa Rasilimali watu na  Utawala, Afisa Afya Manispaa, Afisa Mazingira, Afisa Udhibiti taka na usafishaji , Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi pamoja na Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro kilichofanyika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro , Emmanuel Mkongo, mara baada ya kupokea maelekezo ya maboresho ya usafi na afya kutoka kwa Mhakiki wa Usafi na Afya Kitaifa, ameahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote  ili kuhakikisha Manispaa ya Morogoro inaingia kwenye nafasi ya 3 bora ya usafi Kitaifa kutokana na uwekezaji ambao Manispaa imefanya  hususani katika miundombinu ya unawaji wa mikono na udhibiti wa taka na usafishaji.

Aidha,Mkongo,amemuelekeza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro kushirikiana na Afisa Afya wa Manispaa kuhakikisha wanaboresha maeneo yote ya miundombinu ya yanayohusisha masuala ya usafi wa vyoo.

Kwa upande wa Mratibu wa Mashindano ya Afya na Usafi Manispaa ya Morogoro, Ndimile Kilatu, ambaye pia ni Afisa Afya wa Manispaa ya Morogoro, amemshukuru Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro pamoja na Uongozi wa Manispaa kwa ushirikiano mkubwa wanaouonesha katika masuala mazima ya afya na usafi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI WA ZIWA LA MAMA

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA MOROGORO MJINI YAFUNGWA RASMI

    August 06, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa