• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

CPA MBEMBELWA ATOA WITO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ,MSINGI NA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MFUMO WA EFFARS

Posted on: August 22nd, 2025

MKUU wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu Manispaa ya Morogoro ,CPA.Michael Mbembelwa, amewataka Wakuu wa Shule za Sekondari, Shule za Msingi na Vituo vya kutolea huduma za afya Manispaa ya Morogoro wakishirikiana na waweka hadhina wa Vituo vyao kuhakikisha wanatumia Mfumo wa EFFARS kikamilifu ili matumizi ya fedha zote zinazotakiwa kutumiwa ziwe zina idhinishwa na Mkurugenzi wa Manispaa

Hayo ameyasema Agosti 19-2025 ,akifungua Mafunzo hayo ya  maboresho katika Mfumo wa Uhasibu na Utoaji wa Taarifa za kifedha katika Vituo vya kutolea huduma (Effars) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Stendi ya Mabasi Msamvu.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo, CPA. Mbembelwa, amesema mfumo huo wa EFFARS umetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya stadi sahihi (zilizoboreshwa) za udhibiti wa fedha katika ngazi ya kituo vya kutolea huduma pamoja na kuondoa matumizi ya Hundi (Check).

CPA. Mbembelwa,amesema Mfumo huo wa EFFARS umejikita zaidi kuondoa matumizi ya hundi ambayo Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi za kulipia hundi ambapo mfumo huo utamruhusu mtu mmoja ambaye atakuwa anaruhusu malipo kufanyika Benki kwa njia ya mfumo na kumfikia mteja moja kwa moja.

Ameongeza kuwa EFFARS umejikita katika maeneo ya kuweka kipengele cha kibali cha matumizi (expenditure permit) ambacho kitamlazimu Mkurugenzi wa Manspaa kujua aina ya matumizi ambayo yanakwenda kutumika ili aweze kutoa idhini ya matumizi hayo na kibali hicho kinatoka moja kwa moja kwenye mfumo wa EFFARS.

Amesema baada hati ya malipo kukamilika,itapitiwa na mweka hadhina wa Manispaa kwa ajili ya kuifanyia ukaguzi kisha atairuhusu na kupitia mfumo wa malipo ya Serikali wa MUSE ambapo Mhasibu wa MUSE ataruhusu malipo kwenda Benki na kuendelea na taratibu za malipo.

Aidha,CPA.Mbembelwa, amesema mfumo wa EFFARS umelenga zaidi katika kufanikisha  malipo kufanyika kwa haraka zaidi ukiliganisha na sasa, ulinzi na usalama wa taarifa za malipo ya  wateja,uzingatiaji wa sera,, sheria , kanuni na usimamizi wa matumizi ya fedha za Serikali. 

Mafunzo hayo yanaendelea Agosti 20-2025 yakishirikisha Wahasibu wa Vituo vya kutolea huduma za afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • CPA MBEMBELWA ATOA WITO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ,MSINGI NA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MFUMO WA EFFARS

    August 22, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YATOA MAFUNZO YA MABORESHO KATIKA MFUMO JUMUISHI WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA (EFFARS).

    August 19, 2025
  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa