• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA MOROGORO LAPITISHA BAJETI YA 93,809,858,854.97 KWA MWAKA WA FEDHA 20205/2026.

Posted on: February 18th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro limepitisha bajeti ya shilingi  93,809,858,854.97 kwaajili ya kutekeleza shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Bajeti hiyo imeridhiwa  katika kikao maalum cha Bajeti cha Baraza la Madiwani kilichofanyika tarehe Februari 18,2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Manispaa.

Akiwasilisha mapendekezo ya mpango wa Bajeti ya mwaka wa fedha  2025/2026 kwa niaba ya Mkurugenzi Ndg.Edward Mwamotela ambae ni mkuu wa divisheni ya Mipango ameeleza kuwa  bajeti hii imejikita katika kuongeza mapato ya ndani,kuboresha miundombini ya kutolea huduma za Afya na Elimu,kuboresha miundombinu ya barabara,uwezeshaji wananchi kiuchumi,utawala bora,usafi wa mji,utunzaji wa Mazingira na kuboresha miundombinu ya kiuchumi.

Aidha ameeleza Manispaa ya Morogoro inatarajia  kukusanya na kutumia kiasi shilingi Bilioni 93,809,858,854.97 ambapo kiasi cha Bilioni 15,622,877,000.00 ni Mapato ya vyanzo vya  ndani vya Halmashauri,shilingi 65,817,912.000.00 ni Mishahara,shilingi 2,346,829,000.00 ni Matumizi mengineyo,shilingi 6,431,989,256.00 ni Ruzuku ya Miradi ya maendeleo, na shilingi 4,377,166.000 ni wadau wa maendeleo.

Kwa upande wa Diwani wa Kata ya Uwanja wa Taifa Mhe. Rashid Matesa amewapongeza watendaji wa maandalizi mazuri ya Bajeti ambayo imegusa kila sekta kuanzia elimu,afya na miundombinu na kuwataka Watendaji kuwajibika ipasavyo ili kuboresha utendaji kazi na kwa maslahi ya umma.

Aidha Diwani wa Kata ya Mji Mpya Mhe.Emmy Kiula ameipongeza Menejimenti kwa kutenga fedha za kufanya ukarabati wa soko la Mawenzi na Kuomba bajeti ijayo soko la Mjimpya liweze kuingizwa katika bajeti ili kufanyiwa ukarabati.

Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro,Mhe,Fikiri Juma amewapongeza wataalam kwa maandalizi mazuri ya Bajeti na kuelekeza kuwa Manispaa ya Morogoro inaelekea kuwa Jiji hivyo katika vipaumbele vyake ni vyema tukazingatia uwekaji wa Bustani katika maeneo ya wazi.

Pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Ndg.Emmanuel Mkongo amewaahidi waheshimiwa Madiwani kuyafanyia kazi yale yote yaliyoagizwa na Baraza la Madiwani.

Katika kuhitimisha mkutano huo Mstahiki Meya amewataka watendaji kuhakikisha bajeti iliyopitishwa ikatumike kama ilivyopangwa  ili kuwaletea maendeleo wananchi wa Manispaa ya Morogoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa