• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI WA ZIWA LA MAMA

Posted on: August 7th, 2025

MANISPAA ya Morogoro imeadhimishaWiki ya Unyonyeshaji wa Maziwa ya Mama Duniani yanye lengo la kutoa hamasa kwa jamii katika kulinda, kuimarisha nakuendeleza unyonyeshaji wa watoto.

Maadhimisho hayo yamehitimishwa na Mkuu waWilaya ya Morogoro,Mhe.Mussa Kilakala,Agosti 07-2025 katika Ukumbi wa KilakalaSoko Kuu la Chifu Kingalu Morogoro.


Akizungumza juu ya maadhimisho hayo, DCKilakala, amewataka wakina mama wote ambao wamejifungua watoto na wanaotarajiakujifungua kutoa kipaumbele katika suala la unyonyeshaji wa ziwa la mama kwanifaida zake huchangia katika uchumi wa nchi.

Aidha, DC Kilakala,ametoa wito kwa watoa hudumawa afya na wahudumu wa afya ngazi ya jamii kuendelea kuhakikisha wanafikiajamii na elimu ya unyonyeshaji wa ziwa la mama ,lishe na afya kwa ujumlainatolewa ipasavyo.

DC Kilakala,amempongeza Mkurugenzi wa Manispaaya Morogoro kwa kutambua umuhimu katika kuhudumia jamii na kuhakikisha katikakilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji anawajengea uwezo zaidikuhusiana na ulishaji wa watoto wachanga na wadogo ambapo unyonyeshaji wa ziwala mama ni mada muhimu ndani yake.

Naye Mkuu wa Divisheni ya Afya,Ustawi wa Jamiina Lishe Manispaa ya Morogoro, Dkt.Maneno Focus, amewataka watoa hudumawahakikishe maeneo waliyopo wanawawezesha jamii kutambua umuhimu wa ziwa lamama na kuhakikisha ufanishaji wa ziwa la mama unazingatiwa.


Mratibu wa Kitengo cha Lishe Manispaa yaMorogoro, Ester Kavishe,amesema mtoto akizaliwa ndani ya lisaa limoja anyonyeshweapate maziwa ya awali ya majimaji ya njano yanayoitwa kolostaramu ambayo nibora sana kwa mtoto ambao katika kipindi cha miezi sita anyonyeshwe ziwa lamama pekee bila kupewa chakula chochote.

Kavishe,amesema maziwa ya mama ni chakula borakwa mtoto kwani humpa mtoto virutubisho vyote kwa uwiano sahihi na pia majikatika miezi sita ya mwanzo.

Mwakilishi wa wazazi,Anna Mwakipesile,amesematangia ajifungue amekuwa akizingatia mlo kamili na unyonyeshaji sahihi kitukilichofanya watoto wake kuwa na afya njema kutokana na kuzingatia makundi sitaya chakula.

Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji wa Maziwaya Mama Duniani, yamebeba Kauli Mbiu ya wiki ya unyonyeshaji mwaka 2025"Thamini Unyonyeshaji: Weka mazingira wezeshi kwa mama na mtoto"ambapo Maadhimisho hayo yyalianza  tarehe 1 - 7 Agosti, 2025  kupitiavituo vyote vya kutolea huduma za Afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI WA ZIWA LA MAMA

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA MOROGORO MJINI YAFUNGWA RASMI

    August 06, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa