• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA MOROGORO MJINI YAFUNGWA RASMI

Posted on: August 6th, 2025

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Morogoro Mjini, Elizabeth Ngobei, amewataka wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata kusimamia kanuni na sheria za uchaguzi ili kuepuka na migogoro isiyo ya kilazima katika maeneo yao ya kupigia kura.

Ameyasema hayo katika kuhitimisha rasmi kwa mafunzo ya wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata  yaliyoanza tarehe 4 hadi tarehe 6 Agosti  katika ukumbi wa Mbaraka Mwishehe DDC Manispaa ya Morogoro.

“Mmemaliza mafunzo haya ,rai yangu nendeni mkahakishe mnasoma  miongozo na kanuni za Uchaguzi ipasavyo na kuelewa ili waweze kutekeleza majukumu yao pasi na shaka lakini mshirikishe vyama vya siasa kwa kila hatua pamoja na kushirikisha wadau wa uchaguzi kwa ukaribu pamoja na kuwapa ushirkiano waangalizi wa uchaguzi”Amesema Ngobei.

Aidha, Ngobei, amewapongeza  wakufunzi na washirki wote wamafunzo na  kuwataka kutekeleza wajibu wao kwa kutoa mafunzo kwa vitendo kwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizizi na makarani wahamasishaji wa wapiga kura.

Pia,amewataka wasimamizi hao kuhakikisha wanabandika orodha yote ya wapiga kura kwenye ubao wa matangazo pamoja na kutoa fomu za uteuzi za Madiwani na uteuzi wa Madiwani ufanyike kwa mujibu wa sheria.

Mwisho,amesisitiza suala zima la kutunza siri katika shughuli nzima ya Uchaguzi ili kuweza kuzuia taharuki ambazo zitazorotesha amani na utulivu katika zoezi hilo la Uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI WA ZIWA LA MAMA

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA MOROGORO MJINI YAFUNGWA RASMI

    August 06, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa