• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC KILAKALA AZINDUA BONANZA LA MOROGORO OKTOBA TUNATIKI 2025, BLACK VIBA YATANGULIA FAINALI

Posted on: July 23rd, 2025

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, amezindua rasmi Mashindano ya Bonanza la Morogoro Oktoba Tunatiki 2025.

‎Mashindano hayo yamezinduliwa Julai 22-2025 katika uwanja wa Shujaa Manispaa ya Morogoro.‎

‎Mashindano hayo yaliyoanzishwa na DC Kilakala, yameshirikisha timu 4 ikiwemo timu ya Black Viba, Black People, Mawenzi na Damu Chafu FC.

‎Katika uzinduzi huo, Timu ya Black Viba yenye maskani yake Vibandani Kata ya Mbuyuni Manispaa ya Morogoro imefanikiwa kutinga hatua ya Fainali baada ya kuinyuka Timu ya Black People bao 1- 0 katika mchezo wa utangulizi wa mashindano ya Bonanza la Morogoro Oktoba Tunatiki 2025.

‎Akizungumza na Wananchi, DC Kilakala, amesema lengo la Bonanza hilo ni kuendelea kutoa elimu kwa Wananchi juu ya kushiriki kikamilifu katika kupiga kura kwenye uchaguzi Mkuu wa kuwachagua Viongozi mbalimbali ikiwemo Madiwani, Wabunge na Rais Oktoba 2025.

‎Aidha, DC Kilakala, amewataka wachezaji kutumia Bonanza hilo kuzalisha vipaji, kudumisha amani na kutengeneza fursa ya ajira kupitia Bonanza hilo la kimichezo ili Morogoro iendelee kuzalisha wachezaji wengi maarufu kama Dickso Job, Kibwana Shomary n.k.

‎Pia , DC Kilakala, amesema mshindi wa kwanza wa Bonanza hilo atazawadiwa Milioni 5 mshindi wa pili milioni 2, mshindi wa tatu milioni 1 na mshindi wa nne shilingi laki 5 huku zawadi za wachezaji Bora na marefa zitatolewa pia.

‎Mchezo wa nusu fainali ya pili utafanyika Julai 25-2025 utakutanisha timu ya Mawenzi na Damu Chafu FC kwenye uwanja wa Shujaa na fainali itachezwa Julai 31-2025 ikitanguliwa na mchezo wakutafuta mshindi wa tatu.

‎Mwisho, DC Kilakala, amesema mara baada ya kumalizika kwa fainali , kutakuwa na burudani kalii kutoka Kwa wasanii mbalimbali kutoka Zanzibar na Tanzania bara watakaotoa burudani hadi mishale ya saa 6 usiku ili kuwapa raha Wananchi wa Manispaa ya Morogoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • CPA MBEMBELWA ATOA WITO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ,MSINGI NA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MFUMO WA EFFARS

    August 22, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YATOA MAFUNZO YA MABORESHO KATIKA MFUMO JUMUISHI WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA (EFFARS).

    August 19, 2025
  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa