• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA CHAKULA NA VIPODOZI YATAKIWA KUJIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA.

Posted on: June 20th, 2025

KAMATI ya Chakula na Vipodozi Manispaa ya Morogoro imetakiwa kujikita katika kuoa elimu kwa wafanyabiashara ili kuwatengenezea wafanyabiashara mazingira mazuri ya biashara zao kwa wateja.

Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ndiye Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro,Emmanuel Mkongo wakati akizindua rasmi kamati hiyo Juni 27-2025.

Mkongo,amesema elimu iwe kipaumbele kwa kamati,kuliko kuchukua hatua kwani wakichukua hatua zaidi bila elimu italeta taharuki kwa wafanyabiashara.

"Leo tumezindua kamati hii,niombe ushirikiano kwenu wajumbe,tukafanya kazi kwa uaminifu na kuepusha malalamiko, kikubwa mkajikite kutoa elimu, ikiwezekana kabla ya kwenda kukagua muwasiliane na wafanyabiashara kwa maandiko ili ikitokea changamoto tujue njia ya kuitatua " Amesema Mkongo.

Hata hivyo,amesema kuwa kamati hiyo itakuwa na majukumu ya Kujadili na kuidhinisha maombi ya vibali,Kupokea na Kujadili taarifa za ukaguzi na ufuatiliaji na Kuainisha shughuli za udhibiti wa vyakula, na vipodozi kama kipaumbele kinachotakiwa kuingizwa kwenye mwongozo wa bajeti.

Pia ,amesema kamati hiyo itakuwa inakaa vikao vyake vya kisheria kila baada ya robo ili kutathimini utendaji kazi wa kamati hiyo.


Aidha, Mkongo,amewataka wenye maduka ya dawa na vyakula kuhakikisha wanakagua mara kwa mara bidhaa zao ili kuhakikisha wanauza bidhaa ambazo hazijakwisha muda wa matumizi lakini pia wahifadhi vizuri bidhaa zao sehemu ambazo ni safi na salama

Naye Afisa Afya Manispaa ya Morogoro,Ndimile Kilatu, amesema kuwa, matumizi ya vyakula na viodozi vilivyoharibika vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watumiaji kwa kuwa kitu chochote ambacho muda wake wa matumizi umepita ni sumu.

Ndimile pia amewataka wauza vyakula wasajili vyakula vyao na TBS ili kuweza kulinda viwango vya vyakula kwa wateja wao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • . RAS MOROGORO AFUNGA MAFUNZO YA PEPMIS, ATAKA UWAJIBIKAJI NA UAMINIFU

    June 30, 2025
  • KAMATI YA CHAKULA NA VIPODOZI YATAKIWA KUJIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA.

    June 20, 2025
  • DC KILAKALA AWATAKA WANANCHI KUFICHUA WAHARIFU WA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO

    June 17, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa