• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE WILAYA YA MOROGORO YAFANA

Posted on: March 5th, 2025

Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani ambayo uhadhimishwa Duniani kote kila ifikapo Machi 8,Wilaya ya Morogoro imeadhimisha siku ya Wanawake kwa kufanya matendo ya huruma kwa wahitaji mbalimbali katika jamii,kutoa elimu ya usawa wa kijinsia,mbio za pole na maonyesho ya bidhaa mbalimbali za majukwaa ya wanawake.

Maadhimisho hayo yamefanyika Machi 4/2025 katika ukumbi wa Chilakale yakiambatana na Maandamano.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe.Musa Kilakala amewapongeza wanawake wote waliojitokeza kuadhimisha siku ya wanawake Duniani na kueleza kama kauli mbiu isemavyo “WANAWAKE NA WASICHANA 2025;TUIMARISHE HAKI USAWA NA UWEZESHAJI” hivyo amewasisitiza kuhusu kuelimisha ,kuhimiza umma juu ya umuhimu wa utekelezaji wa Ajenda ya usawa wa kijinsia haki na uwezeshaji wa wanawake na wasichana katika maendeleo ya kijamii,kiuchumi na kisiasa.

“Nawapongeza kwa kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu hii ya mwaka huu kwa kuungana Pamoja wanawake ,wanaume na Watoto katika shughuli za kijamii hii inaonesha mshikamano mkubwa uliopo,pia nichukue fursa hii kuwakumbusha kuendelea kukemea kwa nguvu zote vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoendelea katika jamii yetu”Amesema DC Kilakala.

Aidha DC Kilakala amewakumbusha wanawake kuwa Serikali imetoa maelekezo ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 na kundi la wanawake upata asilimia 4,hivyo amewataka wanawake wanapopewa mikopo hiyo kuitumia kwa lengo lililokusudiwa na kuwa waaminifu na kurejesha fedha walizokopeshwa kwa wakati.

Pia Dc Kilakala ametoa wito kwa wanawake wao kama nguzo za familia kuhakikisha wanajiunga na Bima ya Afya iliyoboreshwa(ICHF) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za matibabu pindi yanapohitajika.

Naye Mkaguzi msaidizi Kata ya Lukobe Bi Zuwena Mwita,amewaasa wanawake kutoa taarifa ya matendo ya ukatili wa kijinsia ili sheria iweze kuchukua mkondo wake,na ameeleza kwa sasa ukatili wa kijinsia umegeuka ata wakina baba wanatendewa matendo ya ukatili hivyo ameiasa jamii kutofumbia macho matendo maovu.

 Maadhimisho haya ya siku ya Wanawake Duniani kimkoa yatafanyika Wilaya Ifakara Machi 8,2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa