• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO KUJIENDESHA KIJIGITALI, MADIWANI , WAKUU WA DIVISHENI WAKABIDHIWA VISHIKWAMBI

Posted on: December 16th, 2022

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imefanya maboresho makubwa katika mfumo wa kujiendesha kisasa wa kutumia Vishikwambi kwa lengo la uwasilishaji wake wa taarifa hususani katika Vikao vya Mabaraza ya Madiwani.

Uzinduzi huo wa mafunzo ya Vishikwambi umefanyika Desemba 16/2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi Kuu ya Manispaa.

Akizungumza katika uzinduzi wa mfumo wa kijigitali mara baada ya kugawa Vishikwambi kwa Madiwani na Wakuu wa Divisheni na Vitengo , Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Hilary Sagara, amesema matumizi ya Vishikwambi yanalenga kuongeza ufanisi wa kazi na kuokoa fedha ambazo zimekuwa zikitumiwa kuchapisha makabrasha.

Sagara, amesema faida nyengine ya Manispaa kujiendesha Kijigitali ni kusaidia kuokoa muda wa kuandaa makabrasha ya Madiwani wakati wa vikao.

" Nichukue nafasi hii kuwapongeza Manispaa ya Morogoro kwa kuja na mpango bora wa mapinduzi ya kijidigitali, dunia sasa ipo Kijidigitali, vishikwambi hivi vitasiaida kuokoa fedha za machapisho ya makabrasha ambapo fedha hizo zinaweza kuelekezwa katika matumizi mengine ya maendeleo " Amesema Sagara.

Kwa upande wa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amewataka Madiwani kuwa waangalifu na vifaa hivyo na kuvitumia kwa matumizi yaliyokusudiwa ili viendelee kuwasaidia.

Naye , Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema uwepo wa vishikwambi utarahisisha taarifa kufika kwa wakati kwa walengwa.

Katika hatua nyengine, Diwani wa Viti Maalum , Grace Mkumbae, amempongeza Mstahiki Meya kwa kuja na wazo hilo pamoja na wataalamu kwa kufanikisha mapango wa Manispaa kujiendesha kisasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA 29 MANISPAA YA MOROGORO WASAINI MKATABA WA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA AFUA ZA LISHE

    January 25, 2023
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YAAHIDI KUBORESHA MIPANGO KAZI NGAZI YA KATA.

    January 23, 2023
  • MANISPAA YA MOROGORO YAKABIDHI VISHIKWAMBI 1259 KWA WAALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI. DC MSANDO ATOA NENO.

    January 23, 2023
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI , ELIMU NA AFYA YAPONGEZA UJENZI MIRADI YA ELIMU NA AFYA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    January 21, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa