• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

. RAS MOROGORO AFUNGA MAFUNZO YA PEPMIS, ATAKA UWAJIBIKAJI NA UAMINIFU

Posted on: June 30th, 2025

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Alhaji Dkt. Mussa Ali Mussa,amewataka watumishi wa umma mkoani humo kuwajibika na kuwa waaminifu katikakujaza mfumo wa mwongozo wa utekelezaji wa usimamizi wa utendaji kazi (PEPMIS),ili kuhakikisha mkoa huo unatekeleza kikamilifu agizo la Serikali.


Dkt. Mussa alitoa kauli hiyo tarehe 28 Juni 2025, wakatiakifunga mafunzo ya siku sita kuhusu ujazaji wa mfumo huo wa PEPMIS,yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro,ikiwa ni siku ya mwisho ya mafunzo hayo mkoani humo.

Amesema kuwa wakuu wa seksheni, idara na vitengo wasipokuwawaaminifu na kuruhusu ujazaji holela wa taarifa katika mfumo huo, itakuwavigumu kufikia malengo ya Serikali.

Aliongeza kuwa viongozi hao watakuwa wameshiriki moja kwa mojakatika kuushusha mkoa huo kiutendaji, ambao kwa sasa uko nafasi ya pili kitaifakwa ujazaji wa mfumo wa PEPMIS, na kwa upande wa vyuo, Mkoa wa Morogoro ndiokinara.



“Ombi langu sasa, kila mmoja atimize wajibu wake anavyotakiwa…tujaze fomu hizo kwa mantiki kwamba kila mmoja anajaziwa kwa kileanachostahili,” alisisitiza Dkt. Mussa.

Mafunzo hayo ya PEPMIS yalianza tarehe 23 Juni 2025, yakitolewana maofisa kutoka Ofisi ya Rais – Utumishi, yakiwahusisha makundi mbalimbali yawatumishi wa umma, hususan wakuu wa idara na vitengo kutoka halmashauri za mkoahuo, Sekretarieti ya Mkoa, na taasisi za umma zilizoko mkoani humo.


Mfumo wa utendaji kazi, yaani Performance ManagementInformation System (PEPMIS), una lengo la kuongeza ufanisi na uwajibikajikwa watumishi wa umma. 

Pia ni mfumo huo  nyenzo muhimu ya kiutumishi inayosaidiamtumishi wa umma kuweka malengo yake ya utendaji kazi na kuyatekeleza ipasavyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • . RAS MOROGORO AFUNGA MAFUNZO YA PEPMIS, ATAKA UWAJIBIKAJI NA UAMINIFU

    June 30, 2025
  • KAMATI YA CHAKULA NA VIPODOZI YATAKIWA KUJIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA.

    June 20, 2025
  • DC KILAKALA AWATAKA WANANCHI KUFICHUA WAHARIFU WA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO

    June 17, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa