• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

SHIRIKA LA MOTHER OF MERCY LAJA NA MICHUANO YA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MANISPAA YA MOROGORO.

Posted on: July 12th, 2025

SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Mother Of Mercy linatarajia kuzindua mashindano ya Kombe la Nishati safi Manispaa ya Morogoro.

Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa Shirika hilo, Ndg. Gration Mbelwa, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa mpira wa Miguu wa Jamhuri Morogoro Julai 11-2025.

Mbelwa, amesema mshindano hayo yanalenga kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia na kuondokana na matumizi ya nishati ya kuni.

Hata hivyo amesema kuwa mashindano hayo yatashirikisha timu 32 ambapo kila Kata itatoa timu moja na timu 3 zitashiriki kwa mfumo wa kualikwa katika mashindano hayo.

"Mashindano yetu tumeshirikisha sana Maafisa watendaji wa Kata ambao wametupatia timu 29, na timu 3 tumezialika, lakini kwa kila timu shiriki tutawapatia jezi na mpira na miche ya miti 500 ili kuipada katika maeneo yao kwa kishirikiana na Maafisa Mazingira, matumaini yetu tutawafikia watu wengi, lengo kumsapoti Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuja na mpango wa matumizi ya nishati safi" Amesema Mbelwa.

Mashindano hayo yanatarajia kuzinduliwa Julai 12-2025 katika Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Jamhuri kwa kufanya maandamano ya amani ya madereva wa boadaboda ya kuzunguka mji wa Morogoro kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama.

Licha ya mashindano ya Mpira wa miguu ,Mbelwa, amesema pia kutakuwa na mashindano ya Bodaboda , ambapo mshindi wa mashindano hayo atazwadiwa pikipiki mpya

"Mashindano haya ya bodaboda tutayaendesha kwa mfumo wa kila mwenesha bodaboda atapanda mti mmoja katika mlima wa uluguru na baada ya hapo yule aliyeshinda kwa kutumia muda mfupi katika mbio hizo atakuwa mshindi na atazawadiwa bodaboda mpya na mshindi wa pili atapewa shilingi milioni 1 na mshindi wa tatu atapewa shilingi laki 5 na jumla ya miti watakayopanda itategemea na idadi ya washiriki " Amefafanua Mbelwa.

Aidha, Mbelwa,amesema kuwa licha ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi lakini pia malengo mengine ni kuhamasisha jamii juu ya masuala mazima ya usafi wa Mazingira na upandaji wa miti.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KILAKALA AZINDUA BONANZA LA MOROGORO OKTOBA TUNATIKI 2025, BLACK VIBA YATANGULIA FAINALI

    July 23, 2025
  • ZAIDI YA KM 90 ZA BARABARA KUCHONGWA KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO

    July 16, 2025
  • SHIRIKA LA MOTHER OF MERCY LAJA NA MICHUANO YA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MANISPAA YA MOROGORO.

    July 12, 2025
  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa