• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA MANISPAA YA MOROGORO WAPATIWA MAFUNZO RASMI

Posted on: August 4th, 2025

WASIMAMIZI  wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata Jimbo la Morogoro Mjini  wameanza rasmi mafunzo Agosti 4, 2025 katika Ukumbi wa Mbaraka Mwishehe, huku wakila kiapo Cha kutunza Siri pamoja na tamko la kujitoa katika chama Cha Siasa.

Akitoa maelekezo baada ya zoezi la kiapo, Msimamizi  wa Uchaguzi Jimbo la Morogoro Mjini, Elizabeth Ngobei, amewataka wasimamizi hao wa Tume kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao huku akionya swala la kufanya kazi kwa mazoea badala yake kujikita kusoma na kuelewa miongozo iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

"Mafunzo haya ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29-2025,someni kwa umakini Katiba, Sheria, Kanuni, miongozo na maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na yatakayotolewa na Tume na ulizeni ili mpate kufafanuliwa kwenye maeneo ambayo kwa namna moja au nyingine pengine yatakuwa na changamoto za kufahamu ili kuwarahisishia katika utekelezaji wenu wa kazi za uchaguzi." Amesisitiza Ngobei.

Hata hivyo,amesema mafunzo hayo yameshirikisha wasimamizi wasaidizi  58 wa Uchaguzi  kutoka Kata 29 ambapo jumla ya mada 11 zimeweza kuwasilishwa.

Pia,amesisitiza ushirikiano wa kujengeana uzoefu kutokana na baadhi ya wasimamizi wengine kuwa wapya na wengine kuwa na uzoefu wa usimamizi huo.

Aidha, Ngobei, amewataka wasimamizi hao wa Uchaguzi ngazi ya Kata  kuzingatia viapo hivyo ili kuepuka uwajibishwaji utaotokana na ukiukwaji wa viapo hivyo.

Mafunzo hayo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata yanatarajiwa kutamatika Agosti 6- 2025

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • CPA MBEMBELWA ATOA WITO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ,MSINGI NA VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MFUMO WA EFFARS

    August 22, 2025
  • MANISPAA YA MOROGORO YATOA MAFUNZO YA MABORESHO KATIKA MFUMO JUMUISHI WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA (EFFARS).

    August 19, 2025
  • MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI,ASISITIZA USHIRIKIANO.

    August 08, 2025
  • MHAKIKI WA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2025 AMPONGEZA MKURUGENZI MANISPAA YA MOROGORO KWA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA AFYA NA USAFI.

    August 07, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa