• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

Posted on: July 3rd, 2025

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amesema, Wizara hiyo imedhamiria kutatua changamoto ya muda mrefu ya uhaba wa maji katika Manispaa ya Morogoro, kazi ambayo amesema itafanyika kwa ushirikiano na viongozi wa Mkoa huo na taasisi za maji, ili kuwapatia maji safi na salama wananchi wa Halmashauri hiyo pamoja na kushughulikia tatizo kubwa la upotevu wa maji.

Katibu Mkuu amebainisha hayo Julai 2, 2025, alipotembelea visima vya maji vilivyochimbwa katika eneo la Kayenzi, Kata ya Mafisa Manispaa ya Morogoro kujionea utekelezaji wa miradi ya maji ambapo pia alikutana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima pamoja na wataalamu wengine wa maji kujadili suala la upatikanaji wa maji katika Manispaa hiyo.

Mhandisi Mwajuma amesema, Mkoa huo una vyanzo vya maji vingi, hivyo Wizara imejipanga kwa dhati kushirikiana na Mkoa kuhakikisha maji yaliyopo ardhini yanatumika ipasavyo kupitia uchimbaji wa visima ili kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuhakikisha wananchi wa Morogoro wanapata maji safi na salama.

“Sisi kama Wizara ya Maji tutatekeleza maelekezo haya na wananchi wa Mkoa wa Morogoro waweze kupata huduma ya maji" amesema. Mhandisi Mwajuma Waziri.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, amesema kama uongozi wa Mkoa wamejizatiti kuhakikisha wananchi wa Manispaa ya Morogoro wanapata huduma ya maji huku akiweka wazi kuwa walianza na kazi ya kuunda kamati ya kutafuta vyanzo mbadala vya maji, hatua iliyowezesha kupatikana kwa maeneo ya kuchimba visima kama Mafisa na Tungi.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Kayenzi, Bw. Mohamed Said ameishukuru Serikali ya Mkoa kwa kubuni njia za kutatua changamoto ya maji waliyokuwa wanaipata wananchi lakini zaidi amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea viongozi wanaojali wananchi na kushughulikia changamoto zao kwa vitendo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • . RAS MOROGORO AFUNGA MAFUNZO YA PEPMIS, ATAKA UWAJIBIKAJI NA UAMINIFU

    June 30, 2025
  • KAMATI YA CHAKULA NA VIPODOZI YATAKIWA KUJIKITA KATIKA UTOAJI WA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA.

    June 20, 2025
  • DC KILAKALA AWATAKA WANANCHI KUFICHUA WAHARIFU WA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO

    June 17, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa