• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

ZAIDI YA KM 90 ZA BARABARA KUCHONGWA KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: July 16th, 2025

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. MussaKilakala, amesema Manispaa ya Morogoro inatarajia kuchonga zaidi ya Km 90 za barabara ili kuondoa changamoto ya barabara ambapo imekuwa kilio cha muda mrefu kwa Wananchi.

‎Hayo ameyasema Julai 16-2025 akizindua rasmi zoezi la uchongaji wa barabara Kata ya Lukobe Mtaa wa Tuelewane.

‎Akizungumza na Wananchi waliojitokeza katika Uzinduzi huo wa uchongaji wa barabara, DC Kilakala, ameishukuru  Manispaa ya Morogoro Kwa uamuzi wa kuja na muarubaini wa kero za miundombinu ya barabara kwa kununua Greda kupitia mapato ya ndani.


‎DC Kilakala, amesema Manispaa yaMorogoro imekuwa na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara hivyo Gredahilo litakuwa ni muarubaini wa kero za miundombinu ya barabara kwa Kata zote 29za Manispaa ya Morogoro.

‎Aidha, DC Kilakala, amewataka wataalamu kulitumia Greda hilo kwa malengo yaliyokusudiwa ili Wananchi waendelee kunufaika na matunda ya Kodi zao.‎


‎" Leo tumezindua Mradi wetu wakuchonga barabara, nitoe wito kwa wananchi na Viongozi wa Mitaa tutoeUshirikiano ili kulinda mtambo huu na kuepuka kukwamisha shughuli za mradiunaoendelea kwani  tukikwamisha mradi huu , tutakuwa tumekwamishaMaendeleo ya Wananchi wetu" Amesema DC Kilakala.

‎Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi waManispaa ya Morogoro, Christopher Komba, amesema greda hili limenunuliwashillingi bilioni 1.3 kupitia mapato ya ndani, hivyo matarajio yake kuonalinakwenda kutatua changamoto ya barabara na kurahisisha mawasiliano ya usafirikwa Wananchi.

‎Naye Kaimu Meneja wa Tarura Manispaaya Morogoro, Eng. Boniface Kapumbe, amesema zoezi la uchongaji wa barabaralinafanywa na taasisi ya Tarura kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi waManispaa ya Morogoro.

‎Kapumbe , amesema kuwa zoezi hilolitaenda kwa awamu ambapo kila Kata Mtambo huo utapita kwa ajili ya kutatuachangamoto ya barabara.

‎Upande wa mwananchi Mtaa wa TuelewaneKata ya Lukobe, ameishukuru Manispaa ya Morogoro Kwa kutatua kero ya barabaraambapo barabara ya Mtaa huo ilikuwa changamoto na Sasa wanaamini uchongaji wabarabara hiyo itawarahisishia Wananchi huduma ya usafiri kwa urahisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KILAKALA AZINDUA BONANZA LA MOROGORO OKTOBA TUNATIKI 2025, BLACK VIBA YATANGULIA FAINALI

    July 23, 2025
  • ZAIDI YA KM 90 ZA BARABARA KUCHONGWA KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO

    July 16, 2025
  • SHIRIKA LA MOTHER OF MERCY LAJA NA MICHUANO YA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MANISPAA YA MOROGORO.

    July 12, 2025
  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa