• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

UJENZI WA OFISI YA KATA MJI MKUU

Start Date: 2013-09-05
End Date: 2017-06-10




1. MAHALI ULIPO: 

Jengo hili la Ofisi ya Kata lipo Kata ya Mji Mkuu Mtaa wa Boma barabara iendayo ofisi ya  Mkuu wa Mkoa Morogoro.

2. LENGO LA MRADI: 

Kutoa huduma bora kwa Wananchi wa Kata ya Mjimkuu pamoja na Wananchi wengine wakazi wa Manispaa ya Morogoro pamoja na kuongeza ufanisi wa kiutendaji watumishi wa ugani waliopo.

3.HATUA ZA UTEKELEZAJI:

Ujenzi wa Ofisi hii ulianza mwaka 2013 chini ya usimamizi wa Diwani wa Kata Hassan Maringo baada ya Wananchi kuibua ujenzi wa ofisi hii katika mchakato wa mpango shirikishi wa fursa na vikwazo kwa maendeleo (O&OD) ambapo matokeo ya Wananchi yalitoa kipaumbele cha ujenzi wa ofisi hii ya Kata.Mwaka 2016 jengo hili liliwekwa jiwe la msingi na mbio za Mwenge wa Uhuru.

4. GHARAMA ZA MRADI:

Hadi mradi huu kukamilika umegharimu kiasi cha Ths.64,237,665.00, fedha hizi zimetokana na vyanzo vifuatavyo:

  • Serikali kuu     …        …        …        …                    Tshs. 16,000,000.00
  • Halmashauri ya Manispaa       …        …                    Tshs. 36,000,000.00
  • Wananchi wakazi wa Kata     …        …                     Tshs.   3,149,665.00
  • Wadau na Wahisani    …        …        …                    Tshs.  9,088,000.00

                          JUMLA KUU       …            …            …    Tshs. 64,237,665.00

6.  MANUFAA YA MRADI:

Kurahisisha utendaji wa kazi kwa Watumishi wa ugani pamoja na kuwa na mahali bora pa utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka mbalimbali za serikali kwa kufanya hivyo kutaongeza ufanisi wa kazi na utoaji wa huduma bora kwa Wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC KILAKALA AZINDUA BONANZA LA MOROGORO OKTOBA TUNATIKI 2025, BLACK VIBA YATANGULIA FAINALI

    July 23, 2025
  • ZAIDI YA KM 90 ZA BARABARA KUCHONGWA KUONDOA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO

    July 16, 2025
  • SHIRIKA LA MOTHER OF MERCY LAJA NA MICHUANO YA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MANISPAA YA MOROGORO.

    July 12, 2025
  • WIZARA YA MAJI YADHAMIRIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO-ENG.MWAJABU.

    July 03, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa