Posted on: June 19th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bi Regina Chonjo amewaagiza wafanyabiashara(wamachinga) wote waliopanga bidhaa chini katikati ya mji kurudi katika masoko ndani ya siku saba kuanzia jana tarehe 19/06/2018.
...
Posted on: June 11th, 2018
MKUU wa mkoa wa Morogoro Dk Kebwe Stephen Kebwe ameiagiza halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuhakikisha hoja zote za Mdhitibi na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ambazo hazijajibiwa kwa muda...
Posted on: May 23rd, 2018
MKUU wa wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo amewaagiza watendaji wa mitaa na kata katika Manispaa ya Morogoro kushirikiana na madiwani kuhakikisha miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inak...