Posted on: November 6th, 2020
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Bakari Msulwa, amezindua stendi ya daladala Kaloleni na kuwataka wananchi kutunza miundombinu iliyopo kwa sababu ujenzi unatokana na kodi.
Kauli hiyo ameitoa ...
Posted on: October 14th, 2020
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Bakari Msulwa, amewataka Wananchi pamoja na Viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa vitendo.
Kauli hiyo ameitoa leo O...
Posted on: October 12th, 2020
MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, ametoa wito kwa Jamii na Wazazi kuachana na mila na desturi zinazolenga kumkandamiza Mtoto wa kike.
Kauli hiyo ameitoa leo, Oktoba 12, 2020 , iki...