Posted on: June 20th, 2019
Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Morogoro pamoja na wataalamu wakiongozwa na Mstahiki Meya Mhe.Pascal Kihanga wamefanya ziara ya mafunzo leo tarehe 20 Juni 2019 katika Halmashauri ya ...
Posted on: June 18th, 2019
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imetenga kiasi cha Sh milioni 10 kwa ajili ya matumizi ya upatikanaji wa vitambulisho vya wazee vitakavyowawezesha kupatiwa huduma mbalimbali zikiwemo za matibabu b...
Posted on: June 17th, 2019
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika inayoazimishwa Afrika nzima kila ifikapo tarehe 16 Juni lengo ikiwa ni kukumbuka mauaji ya watoto yaliyofanyika huko SOWETO Afr...