Posted on: May 12th, 2021
Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya Morogoro imetoa msaada wa vyakula kwa zaidi ya Kaya 100 zenye uhitaji zilizopo Kata ya Kihonda Maghorofani Manispaa ya Morogoro kuelekea katika Sikukuu ya Eid Fitr.
...
Posted on: May 1st, 2021
Wafanyakazi na watumishi wa Umma Mkoa wa Morogoro,wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi na kujiepusha na masuala ya rushwa na utovu wa nidhamu kazini.
Rai hiyo imetolewa Mei 1/2021 na Katibu Tawala...
Posted on: April 28th, 2021
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia Wazee na Watoto,Mhe. Doroth Gwajima, amewataka Wazazi kuwapaeleka watoto wao katika vituo vya afya ili waweze kupatiwa chanjo.
Kauli hiyo ameitoa leo April...