Posted on: December 10th, 2022
MANISPAA ya Morogoro imeadhimisha sherehe za miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa kuandaa Kongamano la kujadili Maendeleo Endelevu ambayo Manispaa imeyapata katika kipindi cha Miaka 61 ya uhuru.
...
Posted on: December 7th, 2022
Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, ameitaka jamii kuhakikisha inapinga ukatili wa aina zote ili kufikia malengo ya kuwa na kizazi chenye usawa kati ya wanawake na wanaume.
Kauli hiyo...
Posted on: December 6th, 2022
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alidai uhuru wa Tanganyika ambapo mnamo usiku wa kuamkia tarehe 9 Desemba 1961 ,ilishushwa bendera ya Uingereza na kupanda Bendera ya Tanganyika na Mwalimu Nyerere aka...