Posted on: March 4th, 2023
DIWANI wa Kata ya Boma Manispaa ya Morogoro, Mhe. Athumani Lujuo, amesema anatarajia kumalizia ukarabati wa Kituo cha Polisi Kata ya Boma kwa lengo la kuimarisha ulinzi katika Kata hiyo.
Kauli hiyo...
Posted on: March 3rd, 2023
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kibaha Vijijini, imetoa pongezi kwa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya Wananchi wa Manispaa hiyo.
Pongezi hizo zi...
Posted on: March 2nd, 2023
KATA ya Boma Manispaa ya Morogoro imeadhimisha Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi.
Akizungumza katika maadhimisho hayo, Afisa Mtendaji Kata ya Boma, Prisca Mawala,...