Posted on: January 14th, 2022
SERIKALI imejikita kutekeleza mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi nchi nzima kwa lengo la kuibadilisha Tanzania kuwa ya kidijitali kwa kuwa anwani za makazi na postikodi ni msingi wa utambuzi wa ki...
Posted on: January 7th, 2022
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Albert Msando, amepiga marufuku suala la uchepushaji wa maji katika vyanzo vya maji.
Kauli hiyo, ameitoa hivi karibuni, katika ziara yake ya kukagua vyanzo vya maji...
Posted on: January 5th, 2022
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya WEZEESHA MABADILIKO chini ya Mkurugenzi wake. Dr. Lusako Mwakiluma,imeikabidhi Manispaa ya Morogoro Choo cha Mtoto wa Kike ilichokijenga katika Shule ya Sekondari Ulugur...